PODCAST · society
Swahili Dishes Podcast
by Swahili Dishes Podcast
This podcast hosted by Faiza & Mkamburi is purely in Swahili language and focuses on breaking stereotypes about the Kenyan coastal community and culture through entertaining conversations.
-
84
Mkiolewa Msijiachilie
Kujiachilia inamaanisha nini haswa? Jumuika nasi tufafanue njia tofauti zinzazoashiria kuwa umejiachilia kwenye mahusiano.
-
83
Madhara ya Kuchanganya Mahaba na Biashara
Leo tunakuonya kuhusu madhara ya kufanya biashara na mpenzi wako. Je kuna mipaka unayoeza kueka kuhakikisha hutaadhirika mnapokosana?
-
82
Work Wife na Work Husbands, Mahusiano Kazini yana Faida Gani?
Ukumbi kwenye kipindi hiki tunawapa kina work wife na work husband.
-
81
Je Content Creation Inalipa?
Kama una mwanaharakati unayempenda ama wataka kuanza kufanya content kuna vitu muhimu lazima ujue.
-
80
Masaibu Kazini! Toxic Work Environment
Umewahi kufanya kazi mahali ukaanza kukonda kwa stress?
-
79
“Ka Meza Fee” Ni Nini?Na Umuhimu Wa Mwanaume Kumpa Mke Wake Hio Ka Meza Fee Ni Gani?
Kuna mila kwenye familia za uswahilini ambazo zimewezesha wanawake kushughulikia familia zao bila stress.
-
78
Mwanaume Akiwa na Hela Kuwa Ready Kumkaribisha Mke Mwenza
Mwanaume Mwenye Pesa Anaweza Kua Mwaminifu Kwa Mwanamke Mmoja?
-
77
Athari Za Kulea Mwanaume!
Tumeskia mara nyingi sana kuwa wanaume huwa hawafai kuhurumiwa. Je madhara huwa gani?
-
76
When A Poor Man Marries Rich! Ni Makosa Ama Itamfaidi?
Episode hii inaendeleza kipindi cha wiki iliyopita. Je, kama ni mkaka maskini, mambo yatamuendeaje?
-
75
“Marrying Rich” Mdada Maskini Kuolewa Na Mkaka Tajiri/Pros&Cons
Kuna changamoto au faida yoyote kwenye mahusiano kama haya?
-
74
“A Cheating Provider!” Utaondoka Ama Utabaki?
Kwenye episode Hii tunachambua mahusiano kati ya davido na mke wake chioma.
-
73
“My Man Forced Me To Unfollow Rafiki Zangu Wa Kiume From My Social Media Pages!”
Je,umeweka mipaka gani kwenye mahusiano yako?
-
72
"My Man Hanitoshelezi Kitandani!"
Kama ni wewe ungefanyaje?
-
71
"Alitumia Pesa Zangu Kuspoil Baby Mama Wake!"
Kwenye episode hii tunampa ushauri dada huyu.
-
70
"My Rich Mzungu Boyfriend Dumped Me Kwa Sababu Mimi ni Lightskin"
Sikiza hii kabla hujanunua mkorogo.
-
69
Utajuaje Huo Mkahawa ni Ghali?
Skiza kipindi hiki kabla hujajiaibisha kwenye mikahawa mjini.
-
68
Wanawake Wanaoteseka Kwenye Mahusiano Hufanya Makosa Haya
Tunawapa ushauri dada zetu ambao wamechoka kuteseka kwenye mahusiano.
-
67
Best na Worst (QnA Challenge)
Kipindi hiki tunaulizana maswali ya kuchangamsha kuhusu utotoni, shule na mahusiano.
-
66
Siri za Wanamitindo/Ma Influencer Exposed!
Tuangalie maisha ambayo wanamitindo wako unaopenda wanaishi
-
65
"Nampa Girlfriend Yangu Pocket Money ya 20k Kila Mwezi" Kaka Ian
Mahusiano yanagharimu Pesa siku hizi lakini kwa wale amabao hela hawana, wanatumia mbinu gani kimapenzi.
-
64
Utajuaje Yeye ni Dume Suruali?
Kipindi hiki tunachambua vijitabia vinavyomfanya atambulike kama Dume Suruali!
-
63
Madhara ya Silent Treatment Katika Mahusiano
Watu wengi hutumia silent treatment kuadhibiana kwenye mahusiano, lakini madhara yake ni makubwa.
-
62
Nilimpigia Simu Saa Nne za Usiku Ikashikwa na Mke Mwenza!
Masaibu ya mpenzi kupata msaidizi bila kujulishwa.
-
61
Ni Sawa Kuingia Kwenye Mahusiano na Ex Wa Rafiki Yako?
Kuna sheria masharti na mipaka ambayo haipaswi kuvukika kati ya marafiki wawili lakini tuangalie kama inawezekana.
-
60
Mahusiano Nje Ya Dini Yako? Utafanikiwa Au La?
Katika Maswala ya mahusiano na watu ne ya dini yako kuna changamoto gani?
-
59
Red Flags Tunazopenda Kisirisiri
Red flags nyingine hubadilika zikawa kijani,
-
58
Nilinyanyaswa Kwenye Ndoa Yangu Nchini Nigeria: Stori ya Dada Lina
Jumuika nasi na dada Lina akitusimulia maisha yake kwenye ndoa iliyomdhalilisha nchini Nigeria.
-
57
Ni Lazima Kumposti Mpenzi Wako Mtandaoni
Kwenye kipindi hiki tunachambua sababu tofauti za watu kuanika wapenzi wao mitandaoni.
-
56
Huyo Mrembo Amesinywa na Wewe!
Kama wadhani upendo bado uko, jitahadhari kaka.
-
55
Character Development
Episode tamu kabisa tunasoma comments za mashabiki wetu plae tiktok!
-
54
Huyo ni Mwanaume Insecure
Jitahadhari na mwanaume mwenye tabia hizi!
-
53
Kama Bibi Yako ni Breadwinner, Tafakari Haya!
Kuna masharti fulani lazima utimize bila kulalamika kama bibi yako ndio kichwa cha nyumba!
-
52
Madharau Ndogo Ndogo
Hufika wakati kwenye mahusiano ambapo wahusika hufanyiana vijimadharau vidogo vidogo vya kuudhi badili ya kukata mahusiano na kuachana.
-
51
"Mume Wangu Anaongea Na Rafiki Yangu!" Nifanyeje?
Tunatoa ushauri kwa dada aliyetuma message kuhusu masaibu ya mahusiano yake.
-
50
Wanawake Wanajua Kudanganya Kushinda Wanaume
Kuna vijiuongo fulani wanawake wamezoea kusema katika mahusiano. Tuangalie aina kadhaa.
-
49
Sisi ni Marafiki Tu!
Je Wanaume na wanawake wanaeza kuendeleza urafiki bila mahusiano?
-
48
Usijiaibishe Bana!
Tunaangalia njia tofauti unaweza kujiaibisha ukiwa kwenye date!
-
47
Dame Wako Anacheati? Zingatia Ishara Hizi
Epiosde hii tunawachanua kaka zetu kwa sababu siku hizi mahusiano yamekuwa kizungumkuti.
-
46
Njia Tofauti Wanaume Hudanganya Wapenzi Wao (Common Lies Men Tell)
Ukiona vyaelea, jua vimeundwa,.Msemo huu hutumika tofauti lakini ukisikia uongo unaotumika na wanaume wengi jua ni kwa sababu unafanya kazi. Episode hii ni onyo kwa wanawake.
-
45
Ushawahi Kughostiwa na Mwanamke? Jua Kwa Nini Ulikula Block!
Mapenzi yana changamoto lakini mwanamke akiamua kughosti jua kuna issue muhimu ya kuzingatia.
-
44
Je Kuna Wachumba Kwenye DMs? (Reading Each Other's DMs)
Jumuika nasi tukisoma DMs zetu, nani atakayebahatika na mapenzi ya dhati?
-
43
Ulinitumia Vibaya!
Ushawahi kuekwa parking kwenye mahusiano?
-
42
Mwanaume Hapaswi Kulala kwa Wakwe Zake! QnA
Kulingana na mila na desturi kuna vitu amabavyo havikubaliwi. Ungana nasi kwenye QnA ya kusisimua akili na mbavu!
-
41
Mwanamke Akikuweka Friend Zone Wafaa Kujua Haya
Kama wewe ni mwanaume unayejaribu kutoka kwa friend zone, tega sikio.
-
40
Kwa nini Wanawake Wanachepuka Wakipata Wanaume Wazuri
Ushawahi kuona mwanamke anayependwa kwa dhati na mwanaume wake akicheati? Huwa kuna sababu tofauti...
-
39
Playing Hard to Get Ina Faida?
Tujumuike kwenye QnA mambo ni dating episode hii.
-
38
Utatafuta Mchumba Kanisani ama Klabu?
QnA session
-
37
-
36
Kitchen Party Hoyee!
Kama bibi arusi mtarajiwa, ungetaka kitchen party aina gani?
-
35
Utajuaje Una Date Mwanaume Gold Digger?
Tafuta karatasi na kalamu, darasa limeanza!
We're indexing this podcast's transcripts for the first time — this can take a minute or two. We'll show results as soon as they're ready.
No matches for "" in this podcast's transcripts.
No topics indexed yet for this podcast.
Loading reviews...
Loading similar podcasts...