EPISODE · Oct 29, 2006 · 25 MIN
Mahojiano na Mwanahabari/Mwanablogu Ndesanjo Macha
from Radio Butiama · host deus gunza
Teknolojia ya habari na mawasiliano imebadilisha jinsi binadamu tunavyoishi. Mabadiliko haya yamempa nguvu kubwa sana mtu wa kawaida. Leo hii watu wa kawaida wanaweza kumiliki vyombo vyao vya habari bila hata kulipia gharama kubwa. Mwanahabari na Mwanablogu Ndesanjo Macha(Pichani kulia akiwa na Issa Michuzi) anatuelezea vizuri juu ya dhana mpya ya uandishi wa raia. Je blogu ni nini? Nini faida za kuwa na blogu? Je Afrika tuna nafasi gani katika hii teknolojia mpya? Kiswahili kina nafasi gani? Sikiliza zaidi. Tembelea blogu ya Ndesanjo Macha: www.jikomboe.com
NOW PLAYING
Mahojiano na Mwanahabari/Mwanablogu Ndesanjo Macha
No transcript for this episode yet