EPISODE · Apr 21, 2022 · 1H 17M
Swahili Sermon | Kanisa Lenye Jina Maarufu Licha Ya Kutokuwa Hai | Ufunuo 3:1-6 | Eric Abwao
from Trinity Baptist Church Donholm, Nairobi · host tbcnairobi
𝐎𝐧𝐲𝐨 𝐊𝐰𝐚 𝐊𝐚𝐧𝐢𝐬𝐚 𝐌𝐚𝐚𝐫𝐮𝐟𝐮 𝐋𝐢𝐬𝐢𝐥𝐨 𝐇𝐚𝐢. Ufunuo 3:1-6 1 “Kwa malaika wa Kanisa la Sardi andika hivi: ‘Haya ni maneno yake yeye aliye na zile Roho saba za Mungu na zile nyota saba. Nayajua matendo yako; na kwamba una sifa ya kuwa hai, na kumbe umekufa. 2 Amka! Imarisha kilichobakia kabla hakijaharibika kabisa, kwa maana nimeona kwamba kazi zako hazijakamilika mbele za Mungu wangu. 3 Kumbuka basi yale uliyoyapokea na kuyasikia, yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwizi wala huta jua saa nitakayokujia. 4 Bado wako watu wachache huko Sardi ambao hawajachafua mavazi yao. Wao watatembea pamoja nami wakiwa wamevaa mavazi yao meupe kwa maana wanastahili. 5 Atakayeshinda atavikwa vazi jeupe kama wao, nami sitafuta jina lake katika kitabu cha uzima bali nitalikiri jina lake mbele ya Baba yangu na mbele za malaika wake. 6 Aliye na nia ya kusikia na asikie yale ambayo Roho anayaam bia makanisa.”’
NOW PLAYING
Swahili Sermon | Kanisa Lenye Jina Maarufu Licha Ya Kutokuwa Hai | Ufunuo 3:1-6 | Eric Abwao
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
Mar 3, 2026 ·44m
Feb 21, 2026 ·30m
Dec 17, 2025 ·30m
Dec 11, 2025 ·26m
Dec 11, 2025 ·29m
Dec 11, 2025 ·33m