PODCAST · news
SISINISISI PODCAST
by Authentic Swahilians
YUBA the BadMan na Mpanga the Road wanajadili maisha ya Taiwan katika vipindi tofauti na kuyalinganisha na maisha ya Tanzania. Podcast hii imejaa burudani, ikiwakilisha simulizi zenye hisia na hadithi zenye mvuto wa kipekee.
-
9
SISINISISI S01 E09 - KUISHI MAISHA NJE YA NCHI UKIWA MBALI NA WAZAZI NDUGU NA JAMAA
KUISHI MAISHA NJE YA NCHI UKIWA MBALI NA WAZAZI NDUGU NA JAMAA
-
8
SISINISISI S01 E08 - JE UNAWEZA KUSAFIRI KUMFUATA MPENZI WAKO ALIE MBALI?
Kwenye episode hii Bad Man na The Road wanachambua committments ambazo zinajitokeza kwenye mahusiano hasa yale mahusiano ya mbali yaan long distance. Je unaweza kusafiri na kumfuata mpenzi wako alie mbali na wewe
-
7
SISINISISI S01 E07- MTAZAMO WA FURSA ZA KUSOMA NCHINI TAIWAN
Story na Bienvenu kutoka Burundi kuhusiana na fursa mbalimbali za kusoma nchini Taiwan. Ndani ya podcast hii tumechambua maswala na experience ya maisha ya Taiwan, huku Bien akiwasilisha uzoefu wake kwenye kazi alizowahi kuzifanya hapo awali kwenye mashirikika makubwa alivyokuwa Burundi
-
6
SISINISISI S01EP06 - MAISHA YA TAIWAN, KAZI ZA PARTTIME KWA MWANAFUNZI
Interview hii imefanyika kati ya Yuba na Dauphin ambae ni mwanafunzi kutoka Burundi. Ameelezea experience yake tangu afike Taiwan na mambo mengi ambae amepitia kwenye safari yake ya maisha nchini Taiwan.
-
5
SISINISISI S01EP05 - NINI KINAPELEKEA VIJANA WANAOISHI NJE YA NCHI AMA DIASPORA KUWA MACMUGA?
MacMuga ni Jina lilitumiwa na msanii wa Bongo Flava almaarufu kama King Kiba " Alikiba" kwenye wimbo uitwao MacMuga lengo la wimbo huo ulikua ni kutoa funzo kwa Vijana wanaotafuta maisha nje ya nchi, pindi wanapofanikiwa na kutojisahau kwa kuendekeza starehe na matumizi mabaya ya kile walichokichuma bila kuwekeza hasa nyumbani walikutoka.
-
4
SISINISISI S01EP04 -TAMADUNI ZA KIAFRICA NA ASIA NI ZIPI?
Katika episode hii, tunajadili baadhi ya tamaduni za Taiwan na Tanzania. Mgeni wetu, Jane ambaye ni Mtaiwan, anashiriki nasi kwa kuelezea maoni na uelewa wake kuhusu Afrika na Watanzania. Karibu ufurahie mazungumzo yetu ya kuvutia.
-
3
SISINISISI S01EP03 - TOFAUTI YA MAHUSIANO YA MAPENZI KATI YA TANZANIA NA TAIWAN
🎙️ SISINISISI - Episode 03:Leo tunazungumzia mapenzi na mahusiano kati ya Taiwan na Tanzania ❤️Mpanga the Road na Yuba the Bad Man wanachambua tofauti, changamoto, na vichekesho vinavyotokea kwenye mapenzi ya pande hizi mbili.Usikose burudani, ukweli na ushauri wa mapenzi kutoka kwa SISINISISI ! 😄#Sisinisisi #MapenziTaiwanNaTanzania #SwahiliPodcast
-
2
SISINISISI S01EP02 - KAZI ZA TAIWAN KWA INTERNATIONAL STUDENTS, CHANGAMOTO VS EXPERIENCE
Katika episode hii ya pili, Mpanga the Road na Yuba the Bad Man wanaingia deep kwenye mada ya maisha ya kazi kwa vijana wa Kiafrika wanaoishi Taiwan. Je, ni rahisi kupata kazi? Changamoto zipi zinawakumba? Na vipi kuhusu uzoefu wao binafsi kazini – kuanzia viwandani hadi kwenye ofisi?
-
1
SISINISISI S01EP01- TOFAUTI KATI YA MAISHA YA NJE(TAIWAN) NA TANZANIA
YUBA the BadMan na Mpanga the Road wanajadili maisha ya Taiwan katika vipindi tofauti na kuyalinganisha na maisha ya Tanzania. Podcast hii imejaa burudani, ikiwakilisha simulizi zenye hisia na hadithi zenye mvuto wa kipekee.
We're indexing this podcast's transcripts for the first time — this can take a minute or two. We'll show results as soon as they're ready.
No matches for "" in this podcast's transcripts.
No topics indexed yet for this podcast.
Loading reviews...
ABOUT THIS SHOW
YUBA the BadMan na Mpanga the Road wanajadili maisha ya Taiwan katika vipindi tofauti na kuyalinganisha na maisha ya Tanzania. Podcast hii imejaa burudani, ikiwakilisha simulizi zenye hisia na hadithi zenye mvuto wa kipekee.
HOSTED BY
Authentic Swahilians
CATEGORIES
Loading similar podcasts...