EPISODE · Mar 18, 2026 · 9 MIN
18 MACHI 2026
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Leah Mushi
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na uhakika wa chakula katika mshariki ya kati, na kazi ya walinda amani wa Umoja wa mataifa nchini Sudan Kusini.Mgogoro unaoiendelea Mashariki ya Kati unaendelea kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ukanda huo huku watu wakikimbia makazi yao, wasiwasi wa usalama wa nyuklia ukiongezeka, na vitisho vikiongezeka dhidi ya usafiri wa baharini..Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) linaonya kuwa kuongezeka kwa mgogoro katika Ghuba ya Uajemi au Mashariki ya Kati kunahatarisha mifumo ya chakula duniani, likitaja kupanda kwa gharama za nishati, mbolea na uzalishaji wa chakula kama athari kuu.Mji wa Bentiu ulioko Kaskazini mwa Sudan Kusini ni eneo linalokumbwa na mafuriko yanayoharibu makazi na migogoro inayowafanya maelfu ya watu kuishi kwenye kambi za wakimbizi. Katika mazingira haya magumu, Afisa wa Polisi wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, UNMISS, Wafaa Assri Sameeh Al-Goussous kutoka nchini Jordan, anafanya kazi ya kujenga uaminifu na uhusiano madhubuti kati ya jamii na vyombo vya dola kupitia doria na mafunzo. Rashid Malekela anatupeleka huko kufahamu maisha ya kila siku ya Afisa Wafaa yakoje.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
What this episode covers
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na uhakika wa chakula katika mshariki ya kati, na kazi ya walinda amani wa Umoja wa mataifa nchini Sudan Kusini.Mgogoro unaoiendelea Mashariki ya Kati unaendelea kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ukanda huo huku watu wakikimbia makazi yao, wasiwasi wa usalama wa nyuklia ukiongezeka, na vitisho vikiongezeka dhidi ya usafiri wa baharini..Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) linaonya kuwa kuongezeka kwa mgogoro katika Ghuba ya Uajemi au Mashariki ya Kati kunahatarisha mifumo ya chakula duniani, likitaja kupanda kwa gharama za nishati, mbolea na uzalishaji wa chakula kama athari kuu.Mji wa Bentiu ulioko Kaskazini mwa Sudan Kusini ni eneo linalokumbwa na mafuriko yanayoharibu makazi na migogoro inayowafanya maelfu ya watu kuishi kwenye kambi za wakimbizi. Katika mazingira haya magumu, Afisa wa Polisi wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, UNMISS, Wafaa Assri Sameeh Al-Goussous kutoka nchini Jordan, anafanya kazi ya kujenga uaminifu na uhusiano madhubuti kati ya jamii na vyombo vya dola kupitia doria na mafunzo. Rashid Malekela anatupeleka huko kufahamu maisha ya kila siku ya Afisa Wafaa yakoje.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
NOW PLAYING
18 MACHI 2026
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.