EPISODE · May 23, 2026
Arsenal yashinda ubingwa wa Uingereza baada ya miaka 22, Fainali za BAL zikianza
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Leo tumeangazia Arsenal kushinda ubingwa wa Ligi Kuu baada ya miaka 22, kocha wa Uingereza Tuchel azomewa kuwaacha nje wachezaji kadhaa, kocha wa DRC Desabre ataja kikosi cha Kombe la Dunia, Aston Villa yashinda Kombe la Europa, Droo ya kufuzu michuano ya AFCON 2027 yakamilika huku AFCON U17 ikiendelea, fainali za BAL zaanza Kigali, Kipchoge kukimbia marathon ya kwanza Afrika, Motsengo Omba ashinda urais wa Fecofa, raundi ya pili kufuzu Kombe la Dunia la wasichana chini ya miaka 17 yaanza.
Embed this episode
NOW PLAYING
Arsenal yashinda ubingwa wa Uingereza baada ya miaka 22, Fainali za BAL zikianza
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.