EPISODE · Mar 2, 2026 · 2 MIN
IAEA yaonya hatari ya nyuklia kadri mzozo Mashariki ya Kati unavyozidi kupamba moto
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Anold Kayanda
Mwelekeo mpya wa mzozo katika eneo la Mashariki ya Kati ukiwa umeingia siku yake ya tatu leo Jumatatu ukichochewa na mashambulizi ya mabomu dhidi ya Iran yaliyofanywa na Israel na Marekani, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la nishati ya atomiki, IAEA, Rafael Grossi amehimiza kurejea kwa diplomasia, akitaja “hatari inayoongezeka kwa usalama wa nyuklia” katika eneo hilo. Anold Kayanda na maelezo zaidi.
What this episode covers
Mwelekeo mpya wa mzozo katika eneo la Mashariki ya Kati ukiwa umeingia siku yake ya tatu leo Jumatatu ukichochewa na mashambulizi ya mabomu dhidi ya Iran yaliyofanywa na Israel na Marekani, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la nishati ya atomiki, IAEA, Rafael Grossi amehimiza kurejea kwa diplomasia, akitaja “hatari inayoongezeka kwa usalama wa nyuklia” katika eneo hilo. Anold Kayanda na maelezo zaidi.
NOW PLAYING
IAEA yaonya hatari ya nyuklia kadri mzozo Mashariki ya Kati unavyozidi kupamba moto
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.