EPISODE · Jun 24, 2026 · 3 MIN
IMO yatangaza mpango wa kuwaondoa mabaharia waliokwama Hormuz
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Anold Kayanda
Shirika la Umoja wa Mataifa la Usafiri wa Baharini (IMO) limetangaza mpango wa kuwaondoa zaidi ya mabaharia 11,000 waliokwama katika Mlango Bahari wa Hormuz kufuatia makubaliano ya amani kati ya Iran na Marekani yaliyolenga kurejesha usalama wa usafiri wa baharini katika eneo hilo. Anold Kayanda amefuatilia hatua hiyo. Karibu Anold utufahamishe zaidi.
What this episode covers
Shirika la Umoja wa Mataifa la Usafiri wa Baharini (IMO) limetangaza mpango wa kuwaondoa zaidi ya mabaharia 11,000 waliokwama katika Mlango Bahari wa Hormuz kufuatia makubaliano ya amani kati ya Iran na Marekani yaliyolenga kurejesha usalama wa usafiri wa baharini katika eneo hilo. Anold Kayanda amefuatilia hatua hiyo. Karibu Anold utufahamishe zaidi.
NOW PLAYING
IMO yatangaza mpango wa kuwaondoa mabaharia waliokwama Hormuz
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.