EPISODE · Jun 27, 2026
Kombe la Dunia 2026: Timu saba za Afrika zafuzu hatua ya muondoano
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Hatua ya makundi kwenye Kombe la Dunia inafikia kilele hii leo, ni timu gani zimefuzu hatua ya mtoano? Wiki ya pili ya michuano hii imeshuhudia rekodi zikiwekwa na kuvunjwa huku mataifa ya Afrika yakiendelea kufanya vizuri zaidi, lakini pia tutakupa uchambuzi wa mechi za kesho asubuhi. Aidha tumeangazia michuano ya Afrika Mashariki mchezo wa Baseball, tetesi za uhamisho na mashindano ya Paris Diamond League
Embed this episode
NOW PLAYING
Kombe la Dunia 2026: Timu saba za Afrika zafuzu hatua ya muondoano
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.