EPISODE · Jun 13, 2026
Kombe la Dunia laanza likitatizika kuwasha msisimko Marekani, Mexico na Canada
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Tumeangazia Kombe la Dunia 2026 kuanza kwa vikwazo kadhaa, raia wa Afrika waiunga mkono Mexico dhidi ya Afrika Kusini, uchambuzi wa mechi ya leo Brazili dhidi ya Morocco, DRC wakijiandaa kupambana na Ureno wiki ijayo, maandalizi ya mbio za Kigali Marathon zakamilika, klabu ya Gor Mahia nchini Kenya yaamrishwa kufanya uchaguzi upya,
Embed this episode
NOW PLAYING
Kombe la Dunia laanza likitatizika kuwasha msisimko Marekani, Mexico na Canada
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.