EPISODE · Jan 13, 2025 · 35 MIN
Kulinda Taarifa Binafsi: Mazungumzo ya Kipekee na Bw. Imungy na Eng. Stephene Wangwe
from Creditinfo Firechat Podcast. · host CreditinfoTZ
FIRECHAT PODCAST kutoka @creditinfotz inakuletea mazungumzo ya kipekee kati ya Bw. @imungy - Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa PDPC, pamoja na Eng. Stephene Wangwe - Mkurugenzi wa Usajili na Uzingatiaji - PDPC. Kipindi hiki, kikiongozwa na mtangazaji @masoudkipanya, kinachambua kwa kina kuhusu umuhimu wa kulinda taarifa binafsi na sababu za kwa nini taarifa hizo zinatakiwa kulindwa. #firechatpodcast #creditinfo #masoudkipanya
Embed this episode
NOW PLAYING
Kulinda Taarifa Binafsi: Mazungumzo ya Kipekee na Bw. Imungy na Eng. Stephene Wangwe
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.