Mahojiano na Dr. Malima Bundara episode artwork

EPISODE · Nov 12, 2006 · 34 MIN

Mahojiano na Dr. Malima Bundara

from Radio Butiama · host deus gunza

Bara la Afrika lina kila kitu kuanzia ardhi kubwa yenye rutuba, maziwa makubwa, mito, madini, mazao na mbuga za wanyama. Vilevile ni bara la pili kwa ukubwa na inasemekana binadamu wa kwanza aliishi huko. Pia ni bara linaloongoza kwa kupewa misaada na nchi nyingine. Lakini na mambo yote hayo Afrika ni bara linaloshika nafasi ya mwisho kwenye masuala mengi ya maendeleo? Je tatizo ni nini? Utumwa? Ukoloni? Ukoloni mamboleo? Dr. Malima Bundara mwandishi wa kitabu cha “Waafrika Ndivyo Walivyo?” anasema tatizo ni Waafrika wenyewe. Sikiliza zaidi.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Nov 12, 2006

Embed this episode

NOW PLAYING

Mahojiano na Dr. Malima Bundara

0:00 34:04

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Radio Butiama?

This episode is 34 minutes long.

When was this Radio Butiama episode published?

This episode was published on November 12, 2006.

Can I download this Radio Butiama episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!