EPISODE · Nov 27, 2006 · 43 MIN
Mahojiano na Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia
from Radio Butiama · host deus gunza
Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia ni mmoja wa wanasiasa chipukizi wanaokuja juu sana kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 25 tu ameweza kuwashangaza watu wengi kwa mambo makubwa anayoyafanya. Je Mh. Amina Chifupa ametokea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Nani alimshauri? Kwa nini kawavalia njuga wauza madawa ya kulevya? Je ana ndoto za kuja kugombea urais hapo baadae?
Embed this episode
NOW PLAYING
Mahojiano na Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.