EPISODE · Jan 29, 2007 · 27 MIN
Mahojiano na Mheshimiwa Mhonga Said Rhuwanya - Viti Maalum CHADEMA
from Radio Butiama · host deus gunza
Mheshimiwa Mhonga Said Rhuwanya ni mmoja wa wabunge vijana wanaokuja juu. Akiwa na umri wa miaka 26 aliwashangaza wengi alipochaguliwa na CHADEMA kuwa Mbunge Viti Maalum. Huko Bungeni amekuwa ni mmoja wa wabunge vijana walio makini na waliojikita kuikomboa nchi yetu Je Mheshimiwa Mhonga ametokea wapi? Ni sababu gani zilimfanya aingie kwenye siasa? Kwa nini alijiunga na CHADEMA?
Embed this episode
NOW PLAYING
Mahojiano na Mheshimiwa Mhonga Said Rhuwanya - Viti Maalum CHADEMA
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.