EPISODE · Dec 11, 2006 · 45 MIN
Mahojiano na Mheshimiwa Zitto Kabwe - Mbunge wa Kigoma Kaskazini
from Radio Butiama · host deus gunza
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ni mmoja wa wabunge vijana machachari na maarufu kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 30 tu, Mheshimiwa Zitto Kabwe ni mbunge kijana kuliko wabunge wote wa kuchaguliwa. Je Zitto Kabwe ametokea wapi? Yupo wapi? Anaelekea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Je ana matatizo gani Mheshimiwa Spika? Je wapinzani wana imani na Spika? Je ni kweli ana mpango wa kuhama CHADEMA na kuhamia CCM?
Embed this episode
NOW PLAYING
Mahojiano na Mheshimiwa Zitto Kabwe - Mbunge wa Kigoma Kaskazini
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.