EPISODE · Mar 11, 2007 · 21 MIN
Mahojiano na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili - Voice of America
from Radio Butiama · host deus gunza
Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika ni mojawapo ya idhaa za nje zinazosikilizwa sana Tanzania. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Emmanuel Muganda anatuelezea jinsi idhaa hiyo inavyofanya kazi. Je idhaa hiyo ilianzishwa lini? Nini yalikuwa mdhumuni ya kuianzisha? Ni Radio gani Tanzania zinazorusha matangazo yao? Je nini maoni yake juu ya dhana moya ya uandishi wa raia? Je Africa ina nafasi gani katika teknolojia mpya ya habari na mawasiliano? http://www.voanews.com/swahili/
Embed this episode
NOW PLAYING
Mahojiano na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili - Voice of America
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.