EPISODE · Aug 15, 2026
Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Tuliyoangazia leo ni pamoja na uchambuzi wa matokeo na matukio ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada inayofikia tamati wikendi hii, mechi za kufuzu kombe la dunia la basketboli chini ya miaka 18, Kenya yawasilisha nia ya kuandaa mashindano ya dunia ya riadha 2029. Je, Yanga itatetea ubingwa wa ligi kuu Tanzania baada ya kushinda ngao ya jamii?, PSG yashinda taji la UEFA Super Cup, tetesi za uhamisho, Swiatek ashinda taji lake la kwanza mwaka huu kwenye tenisi
Embed this episode
NOW PLAYING
Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.