Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco episode artwork

EPISODE · Aug 15, 2026

Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco

from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili

Tuliyoangazia leo ni pamoja na uchambuzi wa matokeo na matukio ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada inayofikia tamati wikendi hii, mechi za kufuzu kombe la dunia la basketboli chini ya miaka 18, Kenya yawasilisha nia ya kuandaa mashindano ya dunia ya riadha 2029. Je, Yanga itatetea ubingwa wa ligi kuu Tanzania baada ya kushinda ngao ya jamii?, PSG yashinda taji la UEFA Super Cup, tetesi za uhamisho, Swiatek ashinda taji lake la kwanza mwaka huu kwenye tenisi

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Aug 15, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

When was this Jukwaa la Michezo episode published?

This episode was published on August 15, 2026.

Can I download this Jukwaa la Michezo episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!