EPISODE · Jul 11, 2026
Mbio za nusu fainali Kombe la Dunia, Kocha mpya wa Yanga ni nani?
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Tuliyokuandalia leo ni pamoja na uchambuzi wa raundi ya 16 bora na robo fainali michuano ya Kombe la Dunia, Misri na Morocco zikiaga mashindano, Mbappe na Messi wang'ang'ania kiatu cha dhahabu, Yanga yapata kocha mpya Manqoba Mngqithi kutoka Afrika Kusini, Emmanuel Wanyonyi avunja rekodi ya mita 1000m mashindano ya Diamond League, mchezo mpya wa Flag Football waendelea kukua na kupata umaarufu Afrika.
Embed this episode
NOW PLAYING
Mbio za nusu fainali Kombe la Dunia, Kocha mpya wa Yanga ni nani?
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.