just now

Period!

First published

05/28/2021

Genres:

society

relationships

health

fitness

mental

education

Summary

Ever thought of what your period says about your health — like how often you get it, how long it lasts, and how heavy your flow is? All this can be different for every woman and some of them can offer clues to what's going on in your body. In this episode, our hosts share on why it is important to pay attention to your body.

Duration

6 minutes

Parent Podcast

Chini Ya Mbúyú

View Podcast

Share this episode

Similar Episodes

    Sheria za kufanya nadhiri.

    Release Date: 07/12/2023

    Description: nimekuwa nikifikiria jinsi nafasi-hali katika nafasi ya nje, inavyoonekana sawa na dhambi. Katika nafasi ya nje hakuna hisia ya juu, chini, kulia au kushoto. Katika dhambi pia, hakuna maana ya juu, chini kulia au kushoto. Ili kudumisha hali ya mwelekeo huu, nyota au mwili wa sayari unahitajika. Na nyota ya mwili wa sayari, nguvu ya mvuto inahakikisha kuwa unajua ni upande gani ulio juu, chini, kulia au kushoto. Hivi ndivyo maandiko yanatuwezesha kuelewa vitu vilivyo juu, vitu vilivyo chini, na kushoto kwetu kutoka kulia kwetu. Karibu katika sehemu mpya kutoka kwa maandiko ambayo nitakuwa nikizungumza juu ya kutoa nadhiri na sheria zinazodhibiti kutoa nadhiri.

    Explicit: No

    EPISODE .1 title :MAFUNZO KUTOKANA NA JANGA LA CORONA

    Release Date: 09/24/2020

    Description: Nmezuru kaunti ya kajiado, kajiado ya kati ili kufahamu kwa upana zaidi kile watu walichojifunza kutokana na mkurupiko wa janga la corona chini

    Explicit: No

    Mambo yanayotupasa vijana.

    Release Date: 04/18/2023

    Description: Kama wewe ni kijana chini ya miaka 30 embu sikiliza haya na uyafanyie kazi.

    Explicit: No

    Junior Starlets Wafuzu kwa Kombe la Dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

    Release Date: 06/18/2024

    Description: Heko kwa Junior Starlets kwa kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kwa wanawake chipukizi chini ya miaka 17. Historia iliyoje! Junior Starlets inakuwa timu ya kwanza kabisa ya Kenya ya kandanda kufuzu kwa Kombe la Dunia. Maandalizi ya kushiriki kombe hilo yaanze sasa.

    Explicit: No

Similar Podcasts

    CHINI YA ZULIA

    Release Date: 04/26/2022

    Authors: Bonventure Inyangala

    Description: Makala yanajaribu kuelezea sakata inayoendelea kwenye klabu ya Manchester united pamoja na Chelsea. Kwenye ligi kuu uingereza.

    Explicit: No

    DONDOO ZA KODI

    Release Date: 06/18/2021

    Authors: Filbert Richard Augusti

    Description: Karibu kujifunza kuhusu mambo mbalimbali ya kuhusu kodi kwa ujumla chini ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ukiwa na Filbert PRESIDENT UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM TAX ASSOCIATION (UDTA).

    Explicit: No

    Chini ya Maji Media

    Release Date: 08/13/2020

    Authors: Impact Africa Network

    Description: A podcast covering the African startup ecosystem; the players, dynamics, trends and stories

    Explicit: No

    Kontrola Podcast

    Release Date: 04/05/2021

    Authors: Kejani 254

    Description: Kontrola Podcasts is home to eclectic, chini ya waba (alternative/underground) sounds that are not on your daily mainstream playlists and an audio wiki to African music

    Explicit: No

    Chini

    Release Date: 08/18/2020

    Authors: Vikas Rai

    Description: Slow down

    Explicit: No

    MAELEZO PODCASTS

    Release Date: 04/30/2021

    Authors: Maelezo Podcasts

    Description: Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, Mipango na Miradi ya Maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya sera na sheria za habari.

    Explicit: No

    MAELEZO PODCASTS

    Release Date: 03/25/2022

    Authors: Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO

    Description: Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya Sera na Sheria za habari.

    Explicit: No

    OSHA Podcasts

    Release Date: 09/24/2021

    Authors: OSHA Tanzania

    Description: Sikiliza OSHA PODCASTS kutoka kwa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA).OSHA ni Taasisi ya Serikali iliyo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, yenye jukumu la kusimamia masuala ya usalama na afya mahali pa kazi Tanzania bara.Katika ukurasa huu utapata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali kuhusu usalama na afya mahali pa kazi kupitia mfululizo wa vipindi vya KAZI SALAMA MAISHA SALAMA kwa njia ya sauti.

    Explicit: No

    Radio Maria Tanzania

    Release Date: 09/04/2020

    Authors: Radio Maria Tanzania

    Description: Haraka sana ilienea kote Italia, tayari katika miaka ya 90, uzoefu huu wa kipekee wa redio uliamsha shauku katika sehemu zingine za ulimwengu. Baadaye, kila mara chini ya uelekezi na usaidizi wa Radio Maria Italia, Radio Maria nyingine iliibuka Amerika (kuanzia na Peru), Afrika (kwanza Burkina Faso), sehemu nyingine za Ulaya… na hivyo Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilizaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN, yenye makao makuu ya kisheria huko Roma. Madhumuni yake ni kuendeleza mradi wa kimisionari, kujibu maombi yanayotoka katika maeneo yote ya dunia, kuhakikisha uhalisi wa chapa, kutoa usaidizi wa kiufundi kwa RM zote, na kukuza mabadilishano na usaidizi kati ya kila redio.Familia ya Ulimwengu inadumisha mahusiano ya mara kwa mara ya taarifa na Baraza la Kipapa la Mawasiliano ya Kijamii la Kiti Kitakatifu

    Explicit: No

    INUA JAMII PROGRAM -KCB BANK PORT VICTORIA

    Release Date: 11/09/2021

    Authors: Bulala 107.5 FM Community Radio

    Description: AFUENI KWA FAMILIA MAHIJAI MAALUMWizara ya Utumishi wa Umma, Jinsia, Masuala ya Wazee na Mipangilio Maalum imeanzisha mpango wa usajili wa uhawilishaji fedha wa Inua Jamii unao lenga Wazee (miaka 70 na Zaidi), Watu Wanaoishi na Ulemavu na Watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu katika ofisi zao Budalang'i.Ikumbukwe kuwa huu ni mpango mpya ambao unawalenga wale wanao sajiliwa kwa mara ya kwanza na wale walionufaika hapo awali, kwa hivyo wanainchi ambao wako chini ya vikundi vilivyo tajwa kujitokeza kwa wingi ilikusajiliwa.Benki (KCB) tawi la Port Victoria ni baadhi ya Benki ambazo zimepewa kandarasi,Watakao nufaika watapokea pesa zao baada ya kufungua akaunti nao.

    Explicit: No

    Pepo na Moto 16

    Release Date: 04/22/2022

    Authors: Yasini Twaha Hassani

    Description: Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa neema za Peponi ni mito inayopita chini yake, pia imezungumzia msamaha watakao pewa na Allah watu wa Peponi.

    Explicit: No