EPISODE · Mar 7, 2026
Regragui aondoka Morocco huku CAF ikiahirisha AFCON ya kina dada
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Kwenye kipindi cha leo tumeangazia kuondoka kwa kocha mkuu wa Morocco Walid Regragui, Burkina Fason yapata kocha mpya, athari ya kuahirishwa kwa michuano ya WAFCON, vikwazo vya CAF dhidi ya Al Ahly, Faith Kipyegon aorodheshwa kwa mara ya tatu kuwania tuzo ya dunia ya Laureus. FIFA yatangaza sheria mpya za soka kuelekea Kombe la Dunia. Fred Kerley apigwa marufuku ya miaka miwili. Je, ni suala la muda tu Arsenal kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza au la?
Embed this episode
NOW PLAYING
Regragui aondoka Morocco huku CAF ikiahirisha AFCON ya kina dada
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.