EPISODE · Jul 18, 2026
Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Tuliyokuandalia leo ni pamoja uchambuzi wa nusu fainali, mechi ya mshindi wa tatu na taarifa kuu kuhusu Kombe la Dunia kuhusu washindi kutuzwa pete pamoja na medali na kombe huku Ballon d'Or yatangaza mchezaji anayecheza nje ya Ulaya ana uwezo wa kushinda tuzo hiyo. Timu ya taifa ya kina dada ya Kenya na Tanzania zasafiri kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco, fainali ya Congo Cup na washindi wa kombe la Afrika la vilabu mchezo wa handboli.
Embed this episode
NOW PLAYING
Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.