Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia episode artwork

EPISODE · Jul 18, 2026

Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia

from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili

Tuliyokuandalia leo ni pamoja uchambuzi wa nusu fainali, mechi ya mshindi wa tatu na taarifa kuu kuhusu Kombe la Dunia kuhusu washindi kutuzwa pete pamoja na medali na kombe huku Ballon d'Or yatangaza mchezaji anayecheza nje ya Ulaya ana uwezo wa kushinda tuzo hiyo. Timu ya taifa ya kina dada ya Kenya na Tanzania zasafiri kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco, fainali ya Congo Cup na washindi wa kombe la Afrika la vilabu mchezo wa handboli. 

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 18, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

When was this Jukwaa la Michezo episode published?

This episode was published on July 18, 2026.

Can I download this Jukwaa la Michezo episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!