Ukweli wa ndoa yangu episode artwork

EPISODE · Oct 13, 2022 · 1H 29M

Ukweli wa ndoa yangu

from Men The Podcast · host Michael Baruti

Linapokuja swala la ndoa na mafanikio ya ndoa watu wengi huwa na mitazamo tofauti. Wapo wanaosema ndoa ni ngumu na si rahisi kufanikiwa kwenye ndoa, na wapo wanaosema ndoa ni ngazi ya mafanikio pale wanandoa wanapokubaliana kwenye hilo. Leo hii, sisi tunajiuliza, ni nini nafasi ya mwanaume kwenye kuifanya ndoa ifanikiwe? Ni kweli kwamba ndoa inapaswa kuwa ngumu? Kwa wanaume ambao wamefanikiwa kuishi kwenye ndoa vizuri na kwa muda mrefu, ipi imekuwa chachu ya mafanikio hayo? Julius Mlacha ana umri wa miaka 50, na ndoa yake inakaribia miaka 25. Ameungana na Michael na Nadia kwenye maongezi haya akielezea kiundani siri ya mafanikio kwenye ndoa yake, na namna gani mwanaume ana nafasi na jukumu kubwa sana kwenye kuhakikisha ndoa yake inadumu na ina stawi katika namna bora. Huu ni ukweli kuhusu ndoa yake

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Oct 13, 2022

Embed this episode

NOW PLAYING

Ukweli wa ndoa yangu

0:00 1:29:17

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Men The Podcast?

This episode is 1 hour and 29 minutes long.

When was this Men The Podcast episode published?

This episode was published on October 13, 2022.

Can I download this Men The Podcast episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!