EPISODE · Apr 8, 2026 · 3 MIN
UN wakaribisha tangazo la Marekani na Iran la kusitisha mapigano
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Leah Mushi
Umoja wa Mataifa umekaribisha tangazo la Marekani na Iran la kusitisha mapigano kwa wiki mbili, wakati huu ambapo vita hivyo vilivyoanzishwa na Marekani na Israeli dhidi ya Iran ikiingia siku ya 40. Kwa upande wa Lebanon hali bado ni tete kwani Israel inaendelea na mashambulizi katika mji mkuu Beirut ikidai kukabili wapiganaji wa Hezbollah wanaopinga kushambuliwa kwa Iran. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.
What this episode covers
Umoja wa Mataifa umekaribisha tangazo la Marekani na Iran la kusitisha mapigano kwa wiki mbili, wakati huu ambapo vita hivyo vilivyoanzishwa na Marekani na Israeli dhidi ya Iran ikiingia siku ya 40. Kwa upande wa Lebanon hali bado ni tete kwani Israel inaendelea na mashambulizi katika mji mkuu Beirut ikidai kukabili wapiganaji wa Hezbollah wanaopinga kushambuliwa kwa Iran. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.
NOW PLAYING
UN wakaribisha tangazo la Marekani na Iran la kusitisha mapigano
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.