UNICEF: Tumesikitishwa na kustushwa na kifo cha mwenzetu huko DRC episode artwork

EPISODE · Mar 11, 2026 · 1 MIN

UNICEF: Tumesikitishwa na kustushwa na kifo cha mwenzetu huko DRC

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Anold Kayanda

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, leo limesema limesikitishwa na kushtushwa na kifo cha mfanyakazi wake mmoja, Karine Buisset kilichotokea katika shambulio linaloripotiwa kufanywa na ndege isiyo na rubani yaani droni katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, eneo ambalo kwa muda mrefu limekumbwa na mapigano na hali mbaya ya kibinadamu. Anold Kayanda na taarifa zaidi.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Mar 11, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

UNICEF: Tumesikitishwa na kustushwa na kifo cha mwenzetu huko DRC

0:00 1:44

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 1 minute long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on March 11, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!