EPISODE · Mar 16, 2026 · 2 MIN
WFP na wadau wake waboresha maisha ya kijana mkulima nchini Uganda
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Feissal Kirwa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na wadau wake chini ya mpango Kilimo na Msaada wa Masoko (AMS), vijana nchini Uganda wamepata mafunzo ya vitendo kuhusu mbinu za kisasa za ufugaji nyuki. Mafunzo hayo yamewasaidia kukimu mahitaji yao kupitia uzalishaji wa asali. Feissal Kirwa anaangazia simulizi ya kijana mmoja mnufaika wa mradi huo.
What this episode covers
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na wadau wake chini ya mpango Kilimo na Msaada wa Masoko (AMS), vijana nchini Uganda wamepata mafunzo ya vitendo kuhusu mbinu za kisasa za ufugaji nyuki. Mafunzo hayo yamewasaidia kukimu mahitaji yao kupitia uzalishaji wa asali. Feissal Kirwa anaangazia simulizi ya kijana mmoja mnufaika wa mradi huo.
NOW PLAYING
WFP na wadau wake waboresha maisha ya kijana mkulima nchini Uganda
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.