EPISODE · Jun 20, 2026
Wiki ya kwanza Kombe la Dunia 2026. Matokeo na Matukio yaliyojiri
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Leo tumeangazia kwa undani matukio na matokeo yote ya wiki ya kwanza michuano ya Kombe la Dunia 2026 - Mbappe, Messi waweka historia wakati Cape Verde na DRC zikihangaisha miamba wa soka wa ulaya, Tunisia yamfuta kazi kocha, uchambuzi wa mechi za leo. Aidha ni mwaka mmoja kuelekea Kombe la Mataifa ya Africa 2027, matokeo ya tenisi kombe la Davis Cup, Police fc ya Rwanda yamfuta kazi kocha wake, matokeo ya Cecafa U17 kwa kina dada pamoja na tetesi za uhamisho ulaya.
Embed this episode
NOW PLAYING
Wiki ya kwanza Kombe la Dunia 2026. Matokeo na Matukio yaliyojiri
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.