EPISODE · Feb 7, 2026
Yanga yalenga ushindi muhimu kukaribia robo fainali michuano ya klabu bingwa
from Jukwaa la Michezo · host RFI Kiswahili
Leo tumeangazia mechi za klabu bingwa Afrika, Yanga itachuana na FAR Rabat nayo Azam ikicheza na Maniema, matukio kuelekea michuano ya gofu ya Magical Kenya Open, mechi za kufuzu kombe la dunia la kina dada chini ya miaka ishirini, rais wa soka DR Congo asimamisha shughuli zote katika uwanja wa Tata Raphael, Rais wa FIFA Infantino asema marufuku dhidi yz Urusi hayajasaidia chochote, mzozo kati ya Ronaldo na Al Nassr waendelea kwa mechi ya pili sasa.
Embed this episode
NOW PLAYING
Yanga yalenga ushindi muhimu kukaribia robo fainali michuano ya klabu bingwa
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.