EPISODE · May 4, 2023 · 1 MIN
MAFURIKO KISUMU: WAKAAZI WAOMBWA KUHAMIA MAENEO YA JUU
Wakaazi wanaoishi katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko katika kaunti ndogo za Nyando na Kadibo huko Kisumu wametakiwa kuhamia katika maeneo salama na vituo vya uokoaji . Ombi hili lilitolewa na Kaimu Kamishna wa Kaunti ya Kisumu Hussein Alanson Hussein ambaye aliongoza timu ya Kamati ya Usimamizi wa mikasa ya dharura ya Kaunti kutathmini athari za mafuriko katika maeneo hayo.Philip Miyawa ana zaidi...........
NOW PLAYING
MAFURIKO KISUMU: WAKAAZI WAOMBWA KUHAMIA MAENEO YA JUU
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
Mar 19, 2026 ·34m
Feb 18, 2026 ·11m
Feb 11, 2026 ·45m
Nov 12, 2025 ·35m
Oct 17, 2025 ·40m