EPISODE · Aug 7, 2026 · 9 MIN
07 AGOSTI 2026
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host United Nations
Miaka 20 tangu kupitishwa kwa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (CRPD) Tanzania inasema inajivunia mafanikio makubwa ya ujumuishwaji , je ni mafanikio gani hayo na ni katika nyanja gani? Kupata undani ungana na Maryprisca Mahundi Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum nchini Tanzania akizungumza na Flora Nducha wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa.
Embed this episode
NOW PLAYING
07 AGOSTI 2026
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.