EPISODE · Aug 10, 2026 · 9 MIN
10 AGOSTI 2026
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host United Nations
Mada kwa kina leo inamulika ubunifu wa aina yake wa kugeuza mabaki ya nywele za binadamu kuwa mbolea asilia, hatua ambayo inatekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs. Je nani anafanya? Na inafanyika wapi? Ungana na Assumpta Massoi kwenye mada hii kwa kina inayoanza na utambulisho wa muhusika kutoka Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, barani Afrika.
Embed this episode
NOW PLAYING
10 AGOSTI 2026
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.