EPISODE · Aug 11, 2026 · 9 MIN
11 AGOSTI 2016
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host UN News/Feissal Kirwa
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Feissal Kirwa anakuletea-Idadi ya vifo na majeruhi kufuatia tetemeko la ardhi nchini Colombia inaongezeka huku Umoja wa Mataifa ukianza kuwasilisha msaada muhimu kwa waathirika na kuwa tayari kusaidia kwa kila hali-Nchini Tanzania serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbbali likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF inahakikisha kila mtoto anasajiliwa pindi anapozaliwa -Na kuelekea Siku ya Kimataifa ya Vijana itakayoadhimishwa kesho Agosti 12 leo utasikia sauti za vijana mbalimbali wakigusia ajira, elimu na maisha kwa ujumla.
Embed this episode
NOW PLAYING
11 AGOSTI 2016
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.