12 AGOSTI 2026 episode artwork

EPISODE · Aug 13, 2026 · 9 MIN

12 AGOSTI 2026

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host United Nations

Katika Jarida la habari hii leo Flora Nducha anakuletea-Leo ni Siku ya vijana Duniani Umoja wa Mataifa wasisitiza umuhimu wa kuwasikiliza, kuwapa fursa na kuwasaidia vijana kuchangia na kushamiri katika jamii-Ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO kuhusu ajira kwa kundi la vijana inasema  ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana duniani umeongezeka, huku ukuaji dhaifu wa uchumi na upungufu wa nafasi mpya za kazi ukiwaweka vijana katika mazingira magumu ya kuingia katika soko la ajira.-Katika mada kwa kina utamsikia kijana kutoka Tanzania Zephania Opiyo aliyepata fursa ya mafunzo kwa vitendo Umoja wa Mataifa sasa amehitimisha na anatanabaisha safari yake na wito kwa vijana wenzie

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Aug 13, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

12 AGOSTI 2026

0:00 9:59

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 9 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on August 13, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!