EPISODE · Aug 14, 2026 · 10 MIN
14 agosti 2026
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Leah Mushi
Karibu kusikiliza jarida ambapo leo utasikia mahojiano na kijana kutoka nchini Kenya Feisal Kirwa aliyekuwa akishiriki mafunzo kwa Vitendo katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kwa muda wa miezi sita na sasa amehitimu mafunzo hayo. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari.
Embed this episode
NOW PLAYING
14 agosti 2026
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.