EPISODE · Jan 13, 2023 · 1H 26M
2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)
from Irudie Injili ya Maji na Roho · host The New Life Mission
Wapo waandishi bandia wa makala nyakati hizi hasa katika nchi zilizoendelea. Hujifanya kuwa waandishi wa makala huku wakiwa na nia ya kujipatia vipato toka kwa walengwa wa makala hizo, kwa kuwatishia kutoboa siri zao. Neno bandia maana yake ni kitu au jambo lenye kuonekana kuwa ni halisi hali si kweli. Kwa maneno mengine, lina maana kwa kitu au jambo ambalo ukweli wake ni tofauti na mwonekano wa nje. https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
Embed this episode
Ready to play
2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
Similar Podcasts
No similar podcasts found.