23 JULAI 2026 episode artwork

EPISODE · Jul 23, 2026 · 9 MIN

23 JULAI 2026

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host United Nations

Mada kwa kina hii inakupeleka Pwani ya Kenya katika Kaunti ya Kilifi ambako mradi wa ‘Tushauriane Tuimarishe Kilimo Biashara’ unaotekelezwa kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, umewezesha wakulima wa eneo hilo kubadili mtazamo na kufanya kazi kwa pamoja. Ingawa changamoto za kijinsia zimekuwepo kwa muda mrefu, sasa mradi huo umefungua njia inayoleta nuru katika uhusiano wa kijinsia, mienendo ya kaya na matokeo ya kilimo biashara. Je nini kinafanyika? Feissal Kirwa kupitia video iliyoandaliwa na FAO anakusimulia zaidi.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 23, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

23 JULAI 2026

0:00 9:56

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 9 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on July 23, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!