EPISODE · Jul 23, 2026 · 9 MIN
23 JULAI 2026
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host United Nations
Mada kwa kina hii inakupeleka Pwani ya Kenya katika Kaunti ya Kilifi ambako mradi wa ‘Tushauriane Tuimarishe Kilimo Biashara’ unaotekelezwa kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, umewezesha wakulima wa eneo hilo kubadili mtazamo na kufanya kazi kwa pamoja. Ingawa changamoto za kijinsia zimekuwepo kwa muda mrefu, sasa mradi huo umefungua njia inayoleta nuru katika uhusiano wa kijinsia, mienendo ya kaya na matokeo ya kilimo biashara. Je nini kinafanyika? Feissal Kirwa kupitia video iliyoandaliwa na FAO anakusimulia zaidi.
Embed this episode
NOW PLAYING
23 JULAI 2026
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.