EPISODE · Aug 26, 2026 · 9 MIN
26 AGOSTI 2026
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host United Nations
Leo mada yetu kwa kina inaangazia mkutano wa 17 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Jangwa UNCCD COP17 unaofanyika huko mjini Ulaanbaatar, Mongolia kuanzia tarehe 17 mpaka 28 mwezi huu. Mwenzangu Leah Mushi wa idhaa hii amezungumza na wadau wanaohudhuria mkutano huo, wa kwanza anaanza kwa kujitambulisha.
Embed this episode
NOW PLAYING
26 AGOSTI 2026
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.