AGIZO LA RAIS KUHUSU UKEKETAJI LATILIWA SHAKA episode artwork

EPISODE · Nov 24, 2021 · 5 MIN

AGIZO LA RAIS KUHUSU UKEKETAJI LATILIWA SHAKA

from Voice Of Philip Miyawa

Serikali ya Kenya chini ya uongozi wa Rais Uhuru Kenyattaa iliahidi kuangamiza kabisa tabia ya ukeketaji wa wanawake hapa nchini ifikapo mwaka wa 2022.Mwanahabari wetu Philip Miyawa alitembelea vijiji vya Kuria katika county ya Migori ambapo tabia hii bado imekita mizizi miongoni mwa jamii na kutathmini juu ya uwezekano wa jamii hiyo kuwachana na mila hii potovu ifikapo mwaka ujao.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Nov 24, 2021

Embed this episode

Ready to play

AGIZO LA RAIS KUHUSU UKEKETAJI LATILIWA SHAKA

0:00 5:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Voice Of Philip Miyawa?

This episode is 5 minutes long.

When was this Voice Of Philip Miyawa episode published?

This episode was published on November 24, 2021.

Can I download this Voice Of Philip Miyawa episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!