EPISODE · Jun 26, 2026 · 4 MIN
Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi
from SBS Swahili - SBS Swahili
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
What this episode covers
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
NOW PLAYING
Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
Jun 26, 2026 ·4m
Jun 26, 2026 ·9m