Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama episode artwork

EPISODE · Mar 26, 2026

Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama

from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili

Miongoni mwa matukio makubwa ni pamoja na mwendelezo wa mashambulizi ya Marelkani na Israeli huko Iran, na nchi za Ghuba, huku bei ya mafuta na gesi ikipanda, DRC na Rwanda zilikubaliana kupunguza uhasama wao, rais wa Kenya William Ruto alizindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR katika eneo la magharibi mwa nchi yake, hali ya nchini Sudan na Senegal yavuliwa ubingwa AFCON, Morocco ilitangazwa mshindi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka 

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Mar 26, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

Frequently Asked Questions

When was this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode published?

This episode was published on March 26, 2026.

Can I download this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!