EPISODE · Mar 26, 2026
Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Miongoni mwa matukio makubwa ni pamoja na mwendelezo wa mashambulizi ya Marelkani na Israeli huko Iran, na nchi za Ghuba, huku bei ya mafuta na gesi ikipanda, DRC na Rwanda zilikubaliana kupunguza uhasama wao, rais wa Kenya William Ruto alizindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR katika eneo la magharibi mwa nchi yake, hali ya nchini Sudan na Senegal yavuliwa ubingwa AFCON, Morocco ilitangazwa mshindi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka
Embed this episode
NOW PLAYING
Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.