EPISODE · Jun 11, 2026 · 10 MIN
#BZK013; Jinsi ya Kujenga Biashara Kubwa Hata Kama Huna Mtaji.
from Ongea na Coach Makirita Amani's show · host Kocha Dr Makirita Amani
Biashara Bila Mtaji? Rafiki, Najua upo kwenye moja ya makundi haya mawili; Moja; Hujaanza biashara kwa sababu huna mtaji. Mbili; Una biashara ila haikui, kwa sababu huna mtaji. Ninachotaka kukuambia ni hiki; hakuna kundi sahihi hapo wewe kuwa. Unaweza kuanzisha na kukuza biashara kwa mafanikio makubwa, hata kama huna mtaji. Kwenye #BaruaYaKocha nimekuonyesha jinsi ya kufanya hivyo kwa uhakika. Isome barua hiyo hapa; https://learn.tanzaniteskills.... Usisingizie tena mtaji, tumia vizuri rasilimali ulizonazo.Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/dakika-10-za-kocha--1923276/support.
Embed this episode
NOW PLAYING
#BZK013; Jinsi ya Kujenga Biashara Kubwa Hata Kama Huna Mtaji.
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.