EPISODE · Feb 27, 2026 · 2 MIN
Fundi wa magari mwanamke wa UNMISS atunukiwa nishani ya Umoja wa Taifa
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Leah Mushi
Fundi wa magari mwanamke kutoka nchini Ethiopia anayehudumu na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, UNMISS, Meja Tigist Ferede ametunukiwa nishani ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, kwa kusimamia jukumu muhimu la wanawake katika operesheni za kulinda amani nje ya kushika bunduki. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Rashid Malekela.
Embed this episode
NOW PLAYING
Fundi wa magari mwanamke wa UNMISS atunukiwa nishani ya Umoja wa Taifa
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.