EPISODE · Jul 13, 2026 · 2 MIN
IMO yatetea uhuru wa usafiri wa majini, sheria za kimataifa na usalama wa mabaharia
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Anold Kayanda
Taarifa iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Usafiri wa Baharini (IMO) imeeleza kuwa Baraza la shirika hilo lililohitimisha kikao chake cha 137 linasisitiza tena umuhimu wa kulinda haki na uhuru wa usafiri katika maji kwa mujibu wa sheria za kimataifa. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo.
Embed this episode
NOW PLAYING
IMO yatetea uhuru wa usafiri wa majini, sheria za kimataifa na usalama wa mabaharia
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.