EPISODE · Jun 27, 2026
Maandamano ya Gen Z Kenya, ziara ya rais Ndayishimiye DRC,vifo Venezuela vyafikia920
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Maandamno ya vijana wa Gen Z kuwakumbuka wenzao waliouawa katika maandamano ya mwaka wa 2024 nchini Kenya, kesi ya aliyekuwa meya wa jiji la Kampala Uganda Erias Lukwago, ziara ya rais wa Burundi pia mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, jijini Kinshasa DRC, Evariste Ndayishimiye, yaliyojiri huko Sudan, Nigeria, Tunisia lakini pia mitetemeko miwili ya ardhi huko Venezuela iliyouwa watu zaidi ya 900, na pia kinachoendelea katika mlango bahari wa Hormuz kuhusu mkataba kati ya Irani na Marekani
Embed this episode
NOW PLAYING
Maandamano ya Gen Z Kenya, ziara ya rais Ndayishimiye DRC,vifo Venezuela vyafikia920
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.