Mafunzo ya STEM yawezesha vijana Zanzibar kuongeza thamani ya zao la mwani episode artwork

EPISODE · Jul 29, 2026 · 4 MIN

Mafunzo ya STEM yawezesha vijana Zanzibar kuongeza thamani ya zao la mwani

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Feissal Kirwa

Je, ingekuwaje kama kila kijana kutoka visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania angeweza kugeuza zao la mwani kuwa suluhisho la kiuchumi la kesho yake? Hilo ndilo lengo mradi wa shirika la kiraia la ProjeKt Inspire kupitia programu yake ya Girls in STEM, au Wasichana kwenye masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati, unaoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa ufadhili wa  Canada. Kupitia warsha wa siku tatu ya  masomo ya  STEM, wanafunzi wamejifunza kutumia masomo hayo kuongeza thamani ya zao la mwani na kuendeleza Uchumi wa buluu. Feissal Kirwa na taarifa zaidi.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 29, 2026

Embed this episode

Ready to play

Mafunzo ya STEM yawezesha vijana Zanzibar kuongeza thamani ya zao la mwani

0:00 4:15

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 4 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on July 29, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!