EPISODE · Jul 29, 2026 · 4 MIN
Mafunzo ya STEM yawezesha vijana Zanzibar kuongeza thamani ya zao la mwani
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Feissal Kirwa
Je, ingekuwaje kama kila kijana kutoka visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania angeweza kugeuza zao la mwani kuwa suluhisho la kiuchumi la kesho yake? Hilo ndilo lengo mradi wa shirika la kiraia la ProjeKt Inspire kupitia programu yake ya Girls in STEM, au Wasichana kwenye masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati, unaoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa ufadhili wa Canada. Kupitia warsha wa siku tatu ya masomo ya STEM, wanafunzi wamejifunza kutumia masomo hayo kuongeza thamani ya zao la mwani na kuendeleza Uchumi wa buluu. Feissal Kirwa na taarifa zaidi.
Embed this episode
Ready to play
Mafunzo ya STEM yawezesha vijana Zanzibar kuongeza thamani ya zao la mwani
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.