EPISODE · Jul 11, 2026
Makubaliano kati ya Marekani na Iran kuvunjika, maandamano ya mawakili wa Kenya
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Yaliyojiri wiki hii ni kuvunjika kwa makubaliano kati ya Marekani na Iran, mazishi ya kiongozi wa kiroho wa Iran A.Khamenei, rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwaonya wanaharakati dhidi ya kuchochea vurugu-wanasiasa wa upinzani, wanahabari pamoja na wanaharakati, Uganda waishi kwa hofu kutokana na vitisho vya mkuu wa majeshi, wapinzani wa jukwaa la C64 DRC walikutana na rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, na maandamano ya mawakili nchini Kenya
Embed this episode
NOW PLAYING
Makubaliano kati ya Marekani na Iran kuvunjika, maandamano ya mawakili wa Kenya
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.