EPISODE · Mar 14, 2026
Mashambulio yaendelea mashariki ya kati na mauaji ya mfanyakazi wa UNICEF DRC
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Makala hii imeangazia pakubwa mashambulio ya Marekani na Israeli huko Iran huku Irani nayo ikijibu mapigo kwa kuishambulia Israeli, na pia kuachiwa huru kwa aliyekuwa waziri mkuu wa Burundi Alain Bunyoni, shambulio la ndege zisizo na rubani lililowaua watu watatu miongoni mwao, mfanyakazi wa shirika la UNICEF kwenye mji wa Goma, mashariki mwa DRC, siasa za Kenya, Uganda na maeneo mengine ya Afrika.
Embed this episode
NOW PLAYING
Mashambulio yaendelea mashariki ya kati na mauaji ya mfanyakazi wa UNICEF DRC
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.