EPISODE · Jun 17, 2026 · 2 MIN
Mashirika ya UN FAO na WFP waonya kuongezeka kwa njaa kali kwenye maeneo 13 duniani
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Anold Kayanda
Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Chakula na Kilimo, FAO, pamoja na Mpango wa Chakula Duniani, WFP, yametoa onyo kali kuwa hali ya ukosefu wa uhakika wa chakula inatarajiwa kuwa mbaya zaidi kwa mamilioni ya watu katika nchi 13 zilizotajwa kuwa maeneo hatari ya njaa kati ya mwezi Juni na Novemba mwaka huu wa 2026. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo.
Embed this episode
Ready to play
Mashirika ya UN FAO na WFP waonya kuongezeka kwa njaa kali kwenye maeneo 13 duniani
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.