Matumaini ya maisha mapya kwa watoto katika ukanda wa Gaza yazidi kufifia episode artwork

EPISODE · Mar 2, 2026 · 3 MIN

Matumaini ya maisha mapya kwa watoto katika ukanda wa Gaza yazidi kufifia

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Rashid Malekela

"Hakuna maisha ya baadaye! Siyaoni maisha ya baadaye kwani sioni wanaoshikamana nasi!" Hayo ni sehemu tu ya maoni ya watoto walioko Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli wakati huu ambapo makombora yanaendelea kurindima, mustakabali wao uko mashakani, na wanachohitaji kama inawezekana ni amani na ujenzi mpya wa makazi ili waweze kurejea katika maisha ya kawaida ndani ya nyumba zao na kuacha kuishi kama wakimbizi katika ardhi yao wenyewe. Rashid Malekela anatupeleka kwenye makazi yao huko Gaza! 

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Mar 2, 2026

Embed this episode

Ready to play

Matumaini ya maisha mapya kwa watoto katika ukanda wa Gaza yazidi kufifia

0:00 3:03

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 3 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on March 2, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!