Mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa kuingia ng’we nyingine kesho episode artwork

EPISODE · Jul 29, 2026 · 3 MIN

Mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa kuingia ng’we nyingine kesho

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Assumpta Massoi

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakuwa na upigaji kura usio rasmi kesho Alhamisi wenye lengo la kutathmini uungwaji mkono wa wagombea saba waliojitokeza kumrithi Katibu Mkuu wa sasa Antonio Guterres anayemaliza muda wake mwishoni mwa mwaka huu. Je ni nini kinafanyika? Assumpta Massoi amekuwa anafuatilia mchakato huu na nimezungumza naye angalau atupatie kwa muhtasari.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 29, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa kuingia ng’we nyingine kesho

0:00 3:30

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 3 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on July 29, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!