EPISODE · Jul 29, 2026 · 3 MIN
Mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa kuingia ng’we nyingine kesho
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Assumpta Massoi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakuwa na upigaji kura usio rasmi kesho Alhamisi wenye lengo la kutathmini uungwaji mkono wa wagombea saba waliojitokeza kumrithi Katibu Mkuu wa sasa Antonio Guterres anayemaliza muda wake mwishoni mwa mwaka huu. Je ni nini kinafanyika? Assumpta Massoi amekuwa anafuatilia mchakato huu na nimezungumza naye angalau atupatie kwa muhtasari.
Embed this episode
NOW PLAYING
Mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa kuingia ng’we nyingine kesho
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.