EPISODE · Jul 13, 2026 · 2 MIN
Miaka 20 tangu kuanzishwa kwake Redio Miraya bado ni muhimu nchini Sudan Kusini
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Feissal Kirwa
Nchini Sudan Kusini, Redio ndiyo chanzo kikuu cha taarifa kwa takribani asilimia 60 ya wananchi wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika. Ndiyo maana kuendelea kwa matangazo ya Radio Miraya ambayo yamedumu kwa miaka ishiriki katika redio hii inayomilikiwa na UNMISS yaani Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani Sudan Kusini ni kipaumbele cha juu katika juhudi zake za kuzuia migogoro na kujenga amani.
Embed this episode
Ready to play
Miaka 20 tangu kuanzishwa kwake Redio Miraya bado ni muhimu nchini Sudan Kusini
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.